Katibu Mkuu Mtendaji wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC), Dkt. Stagomena Tax akizungumza katika mhadahara uliokuwa ukielezea historia na jinsi SADC ilivyoweza kusonga mbele, mapema leo katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM).
Waziri wa Habari Utalii na Mambo ya Kale Zanzibarv Mhe, Mahmoud Thabit Kombe, (kushoto ) akizungumza na Viongozi walioohudhuria Mhadhara wa SADC katikati Waziri wa Katiba na Sheria Zanzibar Mhe Khamis Maalim Juma.
Mabalozi, Mawaziri na viongozi wa nchi mbali mbali waliohudhuria Mhadhara huo.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt Harrison Mwakyembe aliyemuwakilisha Waziri wa Mambo ya Nje ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof Palamagamba Kabudi akitoa machache kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi Rais Mstaafu Mkapa.
Salamu za hapa na pale...
Wimbo wa Taifa ukiimbwa...
Wageni waalikwa.
Meza kuu.
No comments:
Post a Comment