Mchezaji wa Timu ya Malindi akishangilia bao lake la kusawazisha katika mchezo wa Ngao ya Hisani na Timu ya KMKM uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar.Timu hizo zilitoka sare ya bao 1-1, na kuamuliwa kupigwa penenti Timu ya KMKM imeshinda kwa peneti 4 -3. mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar.
Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Awaapisha Wajumbe Waliuoteuliwa na
Mhe.Rais Dk.Hussein Mwinyi Hivi Karibuni
-
Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe.Zuberi Ali Maulid akimuapisha
Mhe.Idrisa Kitwana Mustafa kuwa Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar,
hafl...
19 minutes ago

No comments:
Post a Comment