Mchezaji wa Timu ya Malindi akishangilia bao lake la kusawazisha katika mchezo wa Ngao ya Hisani na Timu ya KMKM uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar.Timu hizo zilitoka sare ya bao 1-1, na kuamuliwa kupigwa penenti Timu ya KMKM imeshinda kwa peneti 4 -3. mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar.
Uchaguzi : Mwenyekiti wa INEC Alivyokabidhi Hati kwa Rais na Makamu wa Rais
Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
-
[image: Mwenyekiti wa INEC, Mhe. Jaji wa Mahakama ya Rufani Jacobs
Mwambegele amekabidhi Hati kwa Rais Mteule na Makamu wa Rais Mteule wa
Jamhuri ya Muun...
18 hours ago

No comments:
Post a Comment