Mchezaji wa Timu ya Malindi akishangilia bao lake la kusawazisha katika mchezo wa Ngao ya Hisani na Timu ya KMKM uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar.Timu hizo zilitoka sare ya bao 1-1, na kuamuliwa kupigwa penenti Timu ya KMKM imeshinda kwa peneti 4 -3. mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar.
REA YASAMBAZA MITUNGI NA MAJIKO YA GESI KWA WATUMISHI WA GEREZA LA UKONGA
DAR ES SALAAM
-
-REA kuendela kuwajengea uwezo Magereza uendelezaji Miradi ya Nishati Safi
-Mhe. Balozi Radhia Msuya amewahamasisha Maafisa na Watumishi wa Magereza
kuwa M...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment