Habari za Punde

Mchezo wa Hisani ya Ngao ya Hisani Kati ya KMKM na Malindi Uliofanyika Wiki Iliopita Timu ya KMKM Imeshinda Mchezo huo Kwa Bao 4-3.

Mchezaji wa Timu ya Malindi akishangilia bao lake la kusawazisha katika mchezo wa Ngao ya Hisani na Timu ya KMKM uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar.Timu hizo zilitoka sare ya bao 1-1, na kuamuliwa kupigwa penenti Timu ya KMKM imeshinda kwa peneti 4 -3. mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar.








No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.