Mchezaji wa Timu ya Malindi akishangilia bao lake la kusawazisha katika mchezo wa Ngao ya Hisani na Timu ya KMKM uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar.Timu hizo zilitoka sare ya bao 1-1, na kuamuliwa kupigwa penenti Timu ya KMKM imeshinda kwa peneti 4 -3. mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar.
MIAKA 30 YA OCEAN ROAD ILIVYOFUFUA MATUMAINI YA KUISHI KWA MAMILIONI YA WATU
-
NI miaka 30 tangu kuanzishwa kwa Taasisi ya Saratani nchini Tanzania (Ocean
Road). Kuanzishwa kwake kumeleta matumaini ya kuendelea kuishi kwa
mamilioni ...
1 hour ago
0 Comments