Habari za Punde

Wanafunzi wa Kidatu cha Sita na cha Nne Waliofanya Vizuri Mitihani yao ya Taifa Zanzibar Wazawadia na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Shein Viwanja Vya Ikulu Zanzibar.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akitoa hutuba yake  wakati alipokuwa akiwapongeza  Wanafunzi  waliofaulu Mitihani ya Taifa ya kidato cha Nne na Sita pamoja  kuwaalika chakula cha mchana katika hafla iliyofanyika leo  viwanja vya  Ikulu Mjini Zanzibar.
Baadhi ya Viongozi waliohudhuria katika hafla ya kuwapongeza  Wanafunzi  waliofaulu Mitihani ya Taifa ya kidato cha Nne na Sita pamoja  na kuwaandalia  chakula cha mchana, hafla iliyotayarishwa leo na  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) katika viwanja vya  Ikulu Mjini Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein(katikati) akimzawadia Mwanafunzi Wahda Mbarak Uzia wa Skuli ya Sekondari ya Fedha katika  hafla ya kuwapongeza  Wanafunzi  waliofaulu Mitihani ya Taifa ya kidato cha Nne na Sita pamoja  kuwaandalia chakula cha mchana katika hafla iliyofanyika leo  viwanja vya  Ikulu Mjini Zanzibar,(kulia) Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe.Riziki Pambe Juma
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein(katikati) akimzawadia Mwanafunzi Ahmad  Khamis Kassim wa Skuli ya Sekondari ya Limumba katika  hafla ya kuwapongeza  Wanafunzi  waliofaulu Mitihani ya Taifa ya kidato cha Nne na Sita pamoja  kuwaandalia chakula cha mchana katika hafla iliyofanyika leo  viwanja vya  Ikulu Mjini Zanzibar,(kulia) Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe.Riziki Pambe Juma
Mawaziri  wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar waliohudhuria katika hafla ya kuwapongeza  Wanafunzi  waliofaulu Mitihani ya Taifa ya kidato cha Nne na Sita pamoja  na kuwaandalia  chakula cha mchana, hafla iliyotayarishwa leo na  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) katika viwanja vya  Ikulu Mjini Zanzibar
Baadhi ya Viongozi waliohudhuria katika hafla ya kuwapongeza  Wanafunzi  waliofaulu Mitihani ya Taifa ya kidato cha Nne na Sita pamoja  na kuwaandalia  chakula cha mchana, hafla iliyotayarishwa leo na  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) katika viwanja vya  Ikulu Mjini Zanzibar
Wanafunzi wakichukua chakula  katika  hafla ya kuwapongeza  Wanafunzi  waliofaulu Mitihani ya Taifa ya kidato cha Nne na Sita pamoja  na chakula cha mchana katika hafla iliyoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein  leo  katika viwanja vya  Ikulu Mjini Zanzibar.
Baadhia ya Wanafunzi wakichukua chakula  katika  hafla ya kuwapongeza  Wanafunzi  waliofaulu Mitihani ya Taifa ya kidato cha Nne na Sita pamoja na  chakula cha mchana katika hafla iliyoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein  leo  katika viwanja vya  Ikulu Mjini Zanzibar [Picha na Ikulu.] 09/09/2019. 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.