Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa amejumuika
pamoja na waumini wengine wa Kanisa la Bikira Maria Parokia ya Chato Mkoani
Geita katika Misa Takatifu ya Dominika ya nne ya Majilio iliyoongozwa na Paroko
wa kanisa hilo Padre Henry Mulinganisa, ambapo Mhe. Rais amewatakia heri ya
Krismas na Mwaka mpya Watanzania wote. Disemba 22, 2019.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akijiandaa
kupokea Sakramenti Takatifu, alipoungana na waumini wengine wa Kanisa la Bikira
Maria Parokia ya Chato Mkoani Geita katika Misa Takatifu ya Dominika ya nne ya
Majilio iliyoongozwa na Paroko wa kanisa hilo Padre Henry Mulinganisa, ambapo
Mhe. Rais amewatakia heri ya Krismas na Mwaka mpya Watanzania wote.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akizungumza na waumini wa Kanisa la
Bikira Maria Parokia ya Chato Mkoani Geita wakati wa Misa Takatifu ya Dominika ya nne ya Majilio
iliyoongozwa na Paroko wa kanisa hilo Padre Henry Mulinganisa, ambapo Mhe. Rais
amewatakia heri ya Krismas na Mwaka mpya
Watanzania wote
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akimpongeza Padre Henry Mulinganisa Paroko wa kanisa la Bikira Maria Parokia ya
Chato Mkoani Geita alipozungumza na Waumini wa Kanisa wakati wa Misa Takatifu
ya Dominika ya nne ya Majilio iliyoongozwa na Paroko huyo, ambapo Mhe. Rais
amewatakia heri ya Krismas na Mwaka mpya Watanzania wote
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimsalimia
mtoto Zioni nje ya kanisa la Bikira Maria Parokia ya Chato Mkoani Geita mara
baada ya kushiriki Misa Takatifu ya Dominika ya nne ya Majilio iliyoongozwa na
Paroko wa kanisa hilo Padre Henry Mulinganisa, ambapo Mhe. Rais amewatakia heri
ya Krismas na Mwaka mpya Watanzania wote.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwapungia mkono
Waumini nje ya kanisa la Bikira Maria Parokia ya Chato Mkoani Geita mara baada
ya kushiriki Misa Takatifu ya Dominika ya nne ya Majilio iliyoongozwa na Paroko
wa kanisa hilo Padre Henry Mulinganisa, ambapo Mhe. Rais amewatakia heri ya
Krismas na Mwaka mpya Watanzania wote.
Disemba 22, 2019.PICHA NA IKULU
No comments:
Post a Comment