BAADHI ya wananchi wa Shehia ya Mkoroshoni Wilaya ya Chake Chake, wakiangalia majina yao katika sehemu maalumu kwa ajili ya kwenda kuchukuwa kitambulisho cha Mazanzibari Mkaazi, kama walivyokutwa na mpiga picha katika skuli ya maandalizi Machomanne.(PICHA NA ABDI SULEIMAN)
MHE. RAIS SAMIA APONGEZWA KUTEKELEZA MKAKATI WA TAIFA WA NISHATI SAFI YA
KUPIKIA KWA VITENDO
-
-Mitungi ya gesi 330 kugaiwa bure kwa Watumishi Magereza Simiyu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
amepongezwa kwa kute...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment