BAADHI ya wananchi wa Shehia ya Mkoroshoni Wilaya ya Chake Chake, wakiangalia majina yao katika sehemu maalumu kwa ajili ya kwenda kuchukuwa kitambulisho cha Mazanzibari Mkaazi, kama walivyokutwa na mpiga picha katika skuli ya maandalizi Machomanne.(PICHA NA ABDI SULEIMAN)
Teknolojia : Serikali Yaombwa Kutazama Upya Ghrama za Usajili na Kodi kwa
Vyombo vya Habari vya Mtandaoni
-
Serikali imeombwa kupunguza gharama za usajili wa vyombo vya habari
mtandaoni (Online Media) ili kutoa fursa kwa vijana wengi zaidi kujiajiri.
Ombi hil...
1 hour ago

0 Comments