Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akimsikiliza Mshauri Elekekezi wa Mradi wa Ujenzi wa Jengo jipya la Mahakama Kuu Zanzibar Tungu Mkurugenzi wa Kampuni ya Hab Consult Ltd. Ndg.Habib S.Nuru akitowa maelezo ya michoro ya ramani ya jengo hilo wakati wa hafla ya uwekaji wa Jiwe la Msingi la Ujenzi huo hafla iliofanyika katika viwanja vya ujenzi huo Tunguu Wilaya ya Kati Unguja.
Mariam Ibrahim Aungana na Wanawake wa Pwani Kufagia Uwanja wa Uzinduzi wa
Kampeni Bagamoyo
-
Mgombea Ubunge wa Viti Maalum Mkoa wa Pwani, Mariam Ibrahim, leo Septemba
16 ameungana na Umoja wa Wanawake wa Mkoa wa Pwani kufagia viwanja vya
Sh...
9 minutes ago
No comments:
Post a Comment