Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein Awekaji wa Jiwe la Msingi Ujenzi wa Jengo la Mahakama Kuu Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akimsikiliza Mshauri Elekekezi wa Mradi wa Ujenzi wa Jengo jipya la Mahakama Kuu Zanzibar Tungu Mkurugenzi wa Kampuni ya Hab Consult Ltd. Ndg.Habib S.Nuru akitowa maelezo ya michoro ya  ramani ya jengo hilo wakati wa hafla ya uwekaji wa Jiwe la Msingi la Ujenzi huo hafla iliofanyika katika viwanja vya ujenzi huo Tunguu Wilaya ya Kati Unguja.















No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.