Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akimsikiliza Mshauri Elekekezi wa Mradi wa Ujenzi wa Jengo jipya la Mahakama Kuu Zanzibar Tungu Mkurugenzi wa Kampuni ya Hab Consult Ltd. Ndg.Habib S.Nuru akitowa maelezo ya michoro ya ramani ya jengo hilo wakati wa hafla ya uwekaji wa Jiwe la Msingi la Ujenzi huo hafla iliofanyika katika viwanja vya ujenzi huo Tunguu Wilaya ya Kati Unguja.
KAMATI YA BUNGE UWEKEZAJI MITAJI YA UMMA YARIDHISWA NA MRADI WA MAKAZI WA
CANADIAN MASAKI
-
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma
(PIC), Masanja Kadogosa, leo Machi 24, 2026 ameongoza ziara ya ukaguzi wa
mradi...
5 hours ago
0 Comments