Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akimsikiliza Mshauri Elekekezi wa Mradi wa Ujenzi wa Jengo jipya la Mahakama Kuu Zanzibar Tungu Mkurugenzi wa Kampuni ya Hab Consult Ltd. Ndg.Habib S.Nuru akitowa maelezo ya michoro ya ramani ya jengo hilo wakati wa hafla ya uwekaji wa Jiwe la Msingi la Ujenzi huo hafla iliofanyika katika viwanja vya ujenzi huo Tunguu Wilaya ya Kati Unguja.
Mchezo wa Lig Kuu ya Zanzibar PBZ Kati ya Chipukizi na Uhamiaji Mchezo
Uliyofanyika Uwanja wa Mao Zedung Timu hizo Zimetoka Sare ya Bao.1-1
-
Wachezaji wa Timu ya Chipukizi wakishangilia bao lao ya kusawazisha katika
mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ dhidi ya Timu ya Uhamiaji mchezo
uliyof...
6 minutes ago

No comments:
Post a Comment