Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akimsikiliza Mshauri Elekekezi wa Mradi wa Ujenzi wa Jengo jipya la Mahakama Kuu Zanzibar Tungu Mkurugenzi wa Kampuni ya Hab Consult Ltd. Ndg.Habib S.Nuru akitowa maelezo ya michoro ya ramani ya jengo hilo wakati wa hafla ya uwekaji wa Jiwe la Msingi la Ujenzi huo hafla iliofanyika katika viwanja vya ujenzi huo Tunguu Wilaya ya Kati Unguja.
SIX DECADES STRONG, CELEBRATING THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA'S PROUD
UNION ANNIVERSARY
-
*60 years of the United Republic of Tanzania, We are united and
Strengthened for the Development of Our Nation.*
1. Introduction.
The United Republic ...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment