Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akimsikiliza Mshauri Elekekezi wa Mradi wa Ujenzi wa Jengo jipya la Mahakama Kuu Zanzibar Tungu Mkurugenzi wa Kampuni ya Hab Consult Ltd. Ndg.Habib S.Nuru akitowa maelezo ya michoro ya ramani ya jengo hilo wakati wa hafla ya uwekaji wa Jiwe la Msingi la Ujenzi huo hafla iliofanyika katika viwanja vya ujenzi huo Tunguu Wilaya ya Kati Unguja.
Kapinga Azindua Kituo Mama cha Gesi Asilia Iliyoshiindiliwa (CNG) Jijini
Dar es Salaam
-
Na.Teresia Mhagama
*Ni cha Pili kwa ukubwa barani Afrika; Cha Kwanza kwa ukubwa EAC
*Kujaza Gesi Asilia kwenye magari 1200 kwa siku
*Ampongeza Dkt. Samia k...
2 minutes ago
No comments:
Post a Comment