Wananchi watakiwa kuwa na tahadhari ya maambukizo ya Maradhi ya Corona kwa kuosha mikono kwa kutuymia Sabuni na Sanitaiza ili kuepuka na maambukizo ya Corona. Kama inavyooneka msikiti wa muembeshauri Masjid Mushawar wakiwa wameweka madoo ya maji yenye dawa kwa ajili ya kuosha mikono yao Waumini wanapofika msikitini hapo kwa ibada.
MISAADA MBALIMBALI YAWAFIKIA WANAWAKE WALIOJIFUNGUA NA WATOTO KATIKA KAMBI
ZA WAHANGA WA MAFURIKO RUFIJI
-
Na Mwamvua Mwinyi,Rufiji April 23
Patrick Golwike (Mkurugenzi wa Maendeleo ya Jamii wa Wizara ya Maendeleo ya
Jamii, Jinsia, Wanawake na Wenye Mahitaji Ma...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment