Wananchi watakiwa kuwa na tahadhari ya maambukizo ya Maradhi ya Corona kwa kuosha mikono kwa kutuymia Sabuni na Sanitaiza ili kuepuka na maambukizo ya Corona. Kama inavyooneka msikiti wa muembeshauri Masjid Mushawar wakiwa wameweka madoo ya maji yenye dawa kwa ajili ya kuosha mikono yao Waumini wanapofika msikitini hapo kwa ibada.
MIAKA 25 YA CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA TANZANIA IMEBORESHA UTUMISHI WA UMMA
NCHINI – MWAIPAYA
-
Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Mhe. Abdallah Mwaipaya, aliyemwakilisha Mkuu wa
Mkoa wa Mtwara, amesema hayo wakati wa hafla ya kuhitimisha mbio za
Utumishi M...
13 minutes ago
0 Comments