Waziri
wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe akiongea na
washiriki wa Bonanza la kuibua vipaji vya uimbaji lililofanyika mwishoni mwa
wiki wilayani Same mkoa wa Kilimanjaro lililoongozwa na kaulimbiu “Tutambue
vipaji vyetu tujiajiri kufikia uchumi wa kati na JPM.”
Mkuu
wa wilaya ya Same Rosemary Senyamule akitoa taarifa fupi juu ya tamasha la
kuibua vipavi vya uimbaji wilayani humo kabla ya kumkaribisha Mgeni Rasmi
ambaye pia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison
Mwakyembe kuongea na hadhira iliyohudhuria bonanza hilo kwa lengo la kusisitiza
umuhimu wa sanaa kwa vijana na ajira ili kuinua uchumi wa mtu mmoja mmoja na
taifa kwa ujumla.
Waziri
wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe (wa kwanza
kushoto) akimkabidhi maiki mwanafunzi Jamila Jafari (wa kwanza kulia) aliyefanikiwa
kuimba wimbo wa mwanamuziki Elias Barnabas (Barnaba Boy, wa katikati) wa
“Namtaka wife material ninayefanana naye”wakati wa Bonanza la kuibua vipaji vya
uimbaji wilayani Same mkoa wa Kilimanjaro.
Baadhi
ya washiriki wa Bonanza la kuibua vipaji vya uimbaji lililofanyika mwishoni mwa
wiki wilayani Same mkoa wa Kilimanjaro lililoongozwa na kaulimbiu “Tutambue
vipaji vyetu tujiajiri kufikia uchumi wa kati na JPM.”
Baadhi
ya washiriki wa Bonanza la kuibua vipaji vya uimbaji lililofanyika mwishoni mwa
wiki wilayani Same mkoa wa Kilimanjaro lililoongozwa na kaulimbiu “Tutambue
vipaji vyetu tujiajiri kufikia uchumi wa kati na JPM.”
Baadhi
ya washiriki wa Bonanza la kuibua vipaji vya uimbaji lililofanyika mwishoni mwa
wiki wilayani Same mkoa wa Kilimanjaro lililoongozwa na kaulimbiu “Tutambue
vipaji vyetu tujiajiri kufikia uchumi wa kati na JPM.”
Baadhi
ya washiriki wa Bonanza la kuibua vipaji vya uimbaji lililofanyika mwishoni mwa
wiki wilayani Same mkoa wa Kilimanjaro lililoongozwa na kaulimbiu “Tutambue
vipaji vyetu tujiajiri kufikia uchumi wa kati na JPM.”
Waziri
wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe akiwa banda la
mjasiriamali bibi Enighenja Mbwambo akionesha na kuuza baadhi ya bidhaa za
kiutamaduni wakati wa Bonanza la kuibua vipaji vya uimbaji lililofanyika
mwishoni mwa wiki wilayani Same mkoa wa Kilimanjaro lililoongozwa na kaulimbiu
“Tutambue vipaji vyetu tujiajiri kufikia uchumi wa kati na JPM.”
(Picha
na Eleuteri Mangi, WHUSM, Same)
No comments:
Post a Comment