Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya Corona COVID -19 kuchukua tahadhari za mara kwa mara kuosha mikono yetu kwa sabuni na maji yanayochurizika au kutumia Sanitaiza ili kujikinga na maambukizo hayo. Kama inavyoonekana Kijana huyu akiwa katika zoezi la kuosha mikono yake akiwa katika matembezi yake mtaa wa mji mkongwe eneo shangani katika moja ya maduka katika mtaa huo.
MBODO AKUTANA NA POSTAMASTA WAKUU WASTAAFU KUBADILISHANA UZOEFU ILI
KUIMARISHA POSTA
-
Postamasta Mkuu Bw. Macrice Mbodo, amekutana na Mapostamasta Wakuu Wastaafu
katika kikao maalum kilicholenga kubadilishana uzoefu juu ya namna ya
kuendel...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment