Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya Corona COVID -19 kuchukua tahadhari za mara kwa mara kuosha mikono yetu kwa sabuni na maji yanayochurizika au kutumia Sanitaiza ili kujikinga na maambukizo hayo. Kama inavyoonekana Kijana huyu akiwa katika zoezi la kuosha mikono yake akiwa katika matembezi yake mtaa wa mji mkongwe eneo shangani katika moja ya maduka katika mtaa huo.
INEC YAHIMIZA WANANCHI MIKOA 16 KUJITOKEZA UBORESHAJI DAFTARI AWAMU YA PILI
-
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufaa Jacobs
Mwambegele akizungumza na Watendaji wa Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la
Wapig...
18 minutes ago
No comments:
Post a Comment