Habari za Punde

Tetesi za Soka Ulaya Alhamisi 14.05.2020: Werner, Sane, Dembele, Bakayoko, Bellingham, Havertz

Bayern Munich wanatafakari kuwasilisha ofa ya zaidi ya £50m kumsajili winga wa Manchester City Leroy Sane. (Telegraph)
Manchester United wanataka kiungo wa kati wa miaka 16 Jude Bellingham kucheza katika kikosi cha kwanza wakifanikiwa kumsajili kutoka Birmingham City msimu huu. (Evening Standard)
Manchester United imemnunua mshambuliaji wa Ufaransa na Lyon Moussa Dembele,23, ambaye pia analengwa na Chelsea, kwa £61.8m. (Todofichajes, via Express)


Barcelona wameweka dau la £53m dhidi ya mshambuliaji wa Ufaransa wa miaka 22- Ousmane Dembele, ambaye walimsajili kwa mkataba wa £135.5m. (Marca, via Star)
Barcelona wameweka dau la £53m dhidi ya mshambuliaji wa Ufaransa wa miaka 22- Ousmane Dembele
Vilevile Barcelona imefanya mazungumzo na Juventus kuhusu usajili wa beki wa Italia Mattia de Sciglio, 27, kutoka upande wa Serie A baada ya mazungumzo ya mkataba na beak wa Portugal Nelson Semedo, 26, kugonga mwamba. (Marca)
Tottenham imetangaza mango wa kumuuza beki wake Juan Foyth na Barcelona wameonesha Ina ya kutaka kumnunua kiungo huyo wa miaka 22-kutoka Argentina. (Mirror)
Chelsea wako tayari kumuuza kiungo wa kati Mfaransa Tiemoue Bakayoko, 25, kwa £31m lakini Paris St-Germain hawataki kutumia zaidi ya £26.5m kumsajili. (Le10 Sport, via Star)
Kiungo wa kati wa Bayer Leverkusen Kai Havertz, 20, amehusishwa na totes za kujiunga na Chelsea, Liverpool na Manchester United lakini mchezaji wa zamani wa kimataifa wa Ujerumani Michael Ballack ameshauri asiondoke Katina klabu yake ya sasa. (Football London)
Everton wanajiandaa kumuachia kipa wao Mholanzi Maarten Stekelenburg, 37, kuondoka katana wake ukimalizika mwisho wa msimu huu ili kumtafuta kipa mwengine.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.