Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro,
leo 12/06/2020 ametembelea na kukagua maendeleo
na marekebisho ya jengo la Makao Makuu ya Jeshi hilo Jijini Dodoma,
ambalo lilikabidhiwa na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John
Pombe Magufuli. Picha na Jeshi la Polisi
Nchini.
DIRA 2050 YA TANZANIA TUITAKAYO IMEKAMILIKA,RAIS SAMIA KUIZINDUA JULAI 17
-
*Dk.Samia aingia katika historia ya kuandika dira isiiyokuwa na muelekeo wa
Itikadi ya Chama
*Profesa Mkumbo ataja hatua kwa hatua jinsi mchakato ulivyo...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment