Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro,
leo 12/06/2020 ametembelea na kukagua maendeleo
na marekebisho ya jengo la Makao Makuu ya Jeshi hilo Jijini Dodoma,
ambalo lilikabidhiwa na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John
Pombe Magufuli. Picha na Jeshi la Polisi
Nchini.
RAIS SAMIA: LUKUVI ALIJENGA MAHUSIANO MEMA YA KUDUMU NDANI YA JAMII
-
Na Janeth Raphael - MichuziTv
Rais Samia amesema Taifa litamkumbuka William Lukuvi kama kiongozi
aliyegusa maisha ya wengi kwa moyo wake wa upendo, hek...
2 hours ago
0 Comments