Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro,
leo 12/06/2020 ametembelea na kukagua maendeleo
na marekebisho ya jengo la Makao Makuu ya Jeshi hilo Jijini Dodoma,
ambalo lilikabidhiwa na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John
Pombe Magufuli. Picha na Jeshi la Polisi
Nchini.
TASAC YATOA MAFUNZO KWA WAMILIKI WA VYOMBO VYA USAFIRI MAJINI
-
Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) jana tarehe 16 Septemba, 2025
lilifanya mafunzo ya usalama na utunzaji wa mazingira majini kwa wadau wa
usaf...
53 minutes ago
No comments:
Post a Comment