Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro,
leo 12/06/2020 ametembelea na kukagua maendeleo
na marekebisho ya jengo la Makao Makuu ya Jeshi hilo Jijini Dodoma,
ambalo lilikabidhiwa na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John
Pombe Magufuli. Picha na Jeshi la Polisi
Nchini.
MSAJILI WA HAZINA AZUNGUMZA NA MKURUGENZI MPYA WA HESLB
-
Msajili wa Hazina Nehemiah Mchechu (kulia), akizungumza na Mkurugenzi
Mtendaji Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Dkt. Bill
Kiwia (w...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment