Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro,
leo 12/06/2020 ametembelea na kukagua maendeleo
na marekebisho ya jengo la Makao Makuu ya Jeshi hilo Jijini Dodoma,
ambalo lilikabidhiwa na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John
Pombe Magufuli. Picha na Jeshi la Polisi
Nchini.
WIZARA YA AFYA YASIKITISHWA NA WANAOTAPELI KWA JINA LA MCHENGERWA
-
WIZARA ya Afya imesikitishwa na kitendo cha baadhi ya watu wenye nia ovu
ambao wamekuwa wakitumia jina la Waziri wa Afya, Mhe. Mohamed Omary
Mchengerwa ku...
8 hours ago
0 Comments