Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro,
leo 12/06/2020 ametembelea na kukagua maendeleo
na marekebisho ya jengo la Makao Makuu ya Jeshi hilo Jijini Dodoma,
ambalo lilikabidhiwa na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John
Pombe Magufuli. Picha na Jeshi la Polisi
Nchini.
DCEA YATUMA UJUMBE MZITO KWA WANAOENDLEA KUJIHUSISHA NA BIASHARA YA DAWA ZA
KULEVYA,YATOA KAULI HII…
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya(DCEA)imetuma ujumbe
kuwaambia wale ambao bado wanaendelea kufanya biashara...
39 minutes ago
No comments:
Post a Comment