Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Innocent Bashungwa akipokea fomu ya kugombea ubunge Jimbo la Karagwe kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) kutoka kwa Godwin M. Kitonka ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe na Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Karagwe, Agosti 21, 2020
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Innocent Bashungwa akisikiliza maelekezo ya uchaguzi baada ya kupokea fomu ya kugombea ubunge Jimbo la Karagwe kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) kutoka kwa Godwin M. Kitonka ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe na Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Karagwe, Agosti 21, 2020
No comments:
Post a Comment