Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akila Mhindi wa Kuchoma katika eneo la
Dumila Darajani wakati aliposimama kuzungumza na wafanyabiashara hao
wadogowadogo akiwa njiani kuelekea Dodoma.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akila Mhindi wa Kuchoma katika eneo la
Dumila Darajani wakati aliposimama kuzungumza na wafanyabiashara hao
wadogowadogo akiwa njiani kuelekea Dodoma.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwapungia mkono wafanyabiashara wa Dumila
Darajani mara baada ya kuzungumza nao ambapo
amewaahidikuwajengeavibandavizuri vya kufanyiabiashara zao katika eneo hilo.
Wafanyabiashara wa Dumila Darajani
wakishangilia mara baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa
Dkt. John Pombe Magufuli kusimama katika eneo hilo wakati akiwa njiani kuelekea
Dodoma.
PICHA NA IKULU
No comments:
Post a Comment