Habari za Punde

sikukuu ya eid el hajj kisiwani Pemba

 WANANCHI mbali bali wakiwaangalia watoto wao baada ya kupanda pembea ya Farasi, katika kiwanja cha kufurahishia watoto Tibirinzi, wakati waskukuu ya kwanza ya Eid el Hajj.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
 WATOTO wakisheherekea skukuu ya Eid el Hajj Kisiwani Pemba, kwa kupanda katika Pembea ya Farasi na ndugu zao, huko katika kiwanja cha kufurahishia watoto Tibirinzi.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
 WATOTO wakisheherekea skukuu yao kwa kupanda pembea la Vibeseni, huko katika kiwanja cha kufurahishia watoto Tibirini.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
 MOJA ya Mapembea ambayo yamo ndani ya kiwanja cha kufurahishia watoto Tibirinzi ni wanda, pembea ambalo limekuwa na wapandaji kidogo kutokana na watoto wengi kuliogopa.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
 WATOTO wakisheherekea skukuu yao kwa kuendesha vigari, moja ya vitu vilivyomo ndani ya kiwanja cha kufurahishia watoto Tibirinzi.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

KUHARIBIKA kwa pembea ya Ndege imepelekea wananchi wananchi wengi, kuzongea Pembea ya Farasi na Vibeseni kama wanavyoonekana katika Picha.PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.