Habari za Punde

Waziri wa Fedha na Mipango Zanzibar Balozi Ramia Atembelea Mradi ya Ujenzi Jengo la Abiria Uwanja wa Ndege Terminal 3

Muonekano wa Jengo jipya la kushukia abiria Terminal 3 linaloendelea kujengwa katika Uwanja wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Chukwani nje  kidogo ya Mjini Zanzibar.
Meneja Ujenzi  wa Jengo la Terminal 3 Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Amani Abeid Karume Yasser De Costa akimpa maelezo Waziri wa Fedha Zanzibar Balozi Muhammed Ramia (alievaa kaunda Suti) maendeleo ya ujenzi wa mradi huo alipotembelea katika eneo la Chukwani, nje kidogo ya Mjini wa Zanzibar.
Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Usafirishaji Zanzibar Mustafa Aboud Jumbe akimuonyesha Waziri wa Fedha Zanzibar Balozi Muhammed Ramia eneo la Uwanja wa Ndege la Terminal 3 alipotembelea kuona mandeleo ya ujenzi unavyoendelea.
Meneja Ujenzi  wa Jengo la Terminal 3 Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Amani Abeid Karume Yasser De Costa akimpa maelezo Waziri wa Fedha Zanzibar Balozi Muhammed Ramia (alievaa kaunda Suti) maendeleo ya ujenzi wa mradi huo alipotembelea katika eneo la Chukwani, nje kidogo ya Mjini wa Zanzibar.
 Mafundi wanaojenga Uwanja wa Ndege wa Terminal 3 Zanzibar wakiwa kazini.
Mafundi wanaojenga Uwanja wa Ndege wa Terminal 3 Zanzibar wakiwa kazini.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.