Baadhi ya watendaji wa Shirika la
Posta Tanzania wakimsikiliza mgeni rasmi Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi,
Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Mawasiliano), Dkt. Zainabu Chaula (hayupo pichani)
wakati akizungumza kabla ya kufungua mafunzo hayo rasmi.
Na Faraja Mpina, WUUM, Dodoma
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano
(Sekta ya Mawasiliano),Dkt. Zainabu Chaula amewaasa Meneja wakuu, Meneja wa mikoa yote na wakuu wa idara wa Shirika
la Posta Tanzania (TPC) kutumia nafasi zao, maarifa na utaalamu wao wote kuhakikisha wanalitendea haki Shirika
la Posta Tanzania na utendaji wao uache alama.
Dkt.
Chaula ameyazungumza hayo alipokuwa anafungua mafunzo ya siku tano ya uwajibikaji kwa kufuata
sheria na taratibu za utumishi wa umma kwa meneja wakuu, wakuu wa idara na meneja wa mikoa yote
wa TPC yaliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa TBA, jijini Dodoma.
Ameongeza kuwa kila mtumishi anatakiwa ajiwekee malengo na kujitathimini kulingana na majukumu aliyokabidhiwa ambapo kufanikisha hili ni lazima kufanyakazi kwa kushirikiana,
kusaidiana na kuwezesha na kwa nimashindanomaofisinihayajengi
,njiapekeeyamafanikionikuzifanyiakazichangamotokwakuzitafutiaufumbuzi.
“UkiwamtumishiwaSerikalihutakiwakuridhikanamafanikiokidogobalikufanyajuhudizaidikwakutumiataalumazetuhukutukijiulizatumefanyanininakwakiasiganiilitusiruhusuwadauwetukuonekananiwatendajikulikosisi,
nilazimataasisizilizochiniyaSektayaMawasilianozioneshemchango wake
katikakukusanyamapatoyaSerikali”, alizungumzaDkt. Chaula
NayePostamastaMkuu Hassan
Mwang’ombeamesemakuwaShirika la Posta limeendeleakupanuawigowahudumazakeambapokwasasaShirikalimejiingizazaidikwenyebiasharayauwakalawahudumambalimbaliilimtejaakifikakwenyedirisha
la postaawezekupatahudumanyinginemuhimukama vile huduma za kibenki,
bimanaintanetikwakupitiatelecentreszinazojengwanaShirikahilo.
AkiongeleamafunzohayoMwang’ombeamesemakuwalengokubwanikukumbushananakuelekezanakatikakutimizamajukumunauwajibikajiiliShirikaliwezekupatamatokeochanya
No comments:
Post a Comment