Habari za Punde

Sirro akutana na viongozi wa Dini pamoja na viongozi wa vyama vya siasa kisiwani Pemba

VIONGOZI Dini ya Kiislamu Kisiwani Pemba, wakifuatilia kwa makini mkutano wa Ispekta Generali wa Polisi Tanzania Saimon Nyankoro Sirro, uliowakutanisha viongozi wa dini na vyama vya siasa mikoa miwili ya Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

VIONGOZI Dini kutoka madhehebu ya kikirisho Kisiwani Pemba, wakifuatilia kwa makini mkutano wa Ispekta Generali wa Polisi Tanzania Saimon Nyankoro Sirro, uliowakutanisha viongozi wa dini na vyama vya siasa mikoa miwili ya Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

KAMISHNA wa Polisi Zanzibar Mohamed Haji, akizungumza katika mkutano wa viongozi wa Dini, vyama vya siasa na kamati za ulinzi na usalama Pemba, huko katika ukumbi wakiwanda cha Makonyo Chake Chake Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

MKUU wa Mkoa wa Kusini Pemba Hemed Suleiman Abdalla, akizungumza katika mkutano wa viongozi wa Dini, vyama vya siasa na kamati za ulinzi na usalama Pemba, huko katika ukumbi wakiwanda cha Makonyo Chake Chake Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

INSPEKTA Generali wa Polisi Tanzania Saimon Nyankoro Sirro, akizungumza na viongozi wa Dini, vyama vya siasa na kamati za ulinzi na usalama Pemba, mkutano uliofanyika katika ukumbi wakiwanda cha Makonyo Chake Chake Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

KATIBU Mkoa wa Chama cha ACT Wazalendo Salehe Nassor Juma, akichangia katika mkutano wa IGP Sirro na viongozi wa Dini na vyama vya siasa huko katika ukumbi wa Mkonyo Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

KIONGOZI wa kanisa la Anglican Dr Michael Hafidh, akizungumza juu ya suala la amani katika mkutano wa IGP Sirro na viongozi wa Dini na vyama vya siasa huko katika ukumbi wa Mkonyo Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

INSPEKTA Jenerali wa Polisi Tanzania Saimon Nyankoro Sirro, akitoa nambari zake za simu kwa viongozi wa Dini, viongozi wa Vyama vya siasa, mara baada ya kumalizika kwa mkutano na viongozi hao katika ukumbi wa Makonyo Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)


 INSPEKTA Jenerali wa Polisi Tanzania Saimon Nyankoro Sirro, akizungumza na waandishi wa habari kutoka Vyombo mbali mbali vya habari Kisiwani Pemba, mara baada ya kumalizika kwa mkutano wake na Viongozi wa dini na viongozi wa vyama vya siasa.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.