AFISA Mdhamini Wizara
ya Elimu na Mafunzo yua Amali Pemba, Mohamed Nassor Salim, akifungua kongamano
la Wanafunzi katika kuelekea Maadhimisho ya siku ya Maafa Duniani, kongamano
lililofanyika katika ukumbi wa skuli ya Madungu Sekondari.
WANAFUNZI kutoka skuli ya Sekondari Madungu Mjini Chake Chake,
wakifuatilia kwa makini kongamano la wanafunzi katika kuelekea maadhimisho ya
siku ya Maafa Duniani.(Picha na Abdi Suleiman - Pemba)
No comments:
Post a Comment