JAJI Mkuu wa Zanzibar Mhe. Omat Othman Makungu akiongoza Maandamano ya Majaji wa Mahakama Kuu ya Zanzibar wakielekea katika Jukwaa lililoandaliwa kwa ajili ya kumuapisha Rais Mteule wa Zanzibar, Mhe Dk. Hussein Ali Mwinyi, hafla hiyo imefanyika katika Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar juzi 2/11/2020.
Uchumi : Gavana Tutuba Ahimiza Matumizi zaidi ya Rasilimali za Ndani ya
Ukanda wa Afrika Mashariki (EAC)
-
Benki Kuu katika ukanda wa Afrika Mashariki (EAC) zimehimizwa kuweka
kipaumbele katika kutumia rasilimali zao kwa ajili ya maendeleo yao, na
kupunguza ut...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment