Habari za Punde

Hafla ya Kuapishwa Kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe Dk. Hussein Ali Mwinyi Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar

JAJI Mkuu wa Zanzibar Mhe. Omat Othman Makungu akiongoza Maandamano ya Majaji wa Mahakama Kuu ya Zanzibar wakielekea katika Jukwaa lililoandaliwa kwa ajili ya kumuapisha Rais Mteule wa Zanzibar, Mhe Dk. Hussein Ali Mwinyi, hafla hiyo imefanyika katika Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar juzi 2/11/2020. 























 

















No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.