JAJI Mkuu wa Zanzibar Mhe. Omat Othman Makungu akiongoza Maandamano ya Majaji wa Mahakama Kuu ya Zanzibar wakielekea katika Jukwaa lililoandaliwa kwa ajili ya kumuapisha Rais Mteule wa Zanzibar, Mhe Dk. Hussein Ali Mwinyi, hafla hiyo imefanyika katika Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar juzi 2/11/2020.
RAIS SAMIA: LUKUVI ALIJENGA MAHUSIANO MEMA YA KUDUMU NDANI YA JAMII
-
Na Janeth Raphael - MichuziTv
Rais Samia amesema Taifa litamkumbuka William Lukuvi kama kiongozi
aliyegusa maisha ya wengi kwa moyo wake wa upendo, hek...
33 minutes ago
0 Comments