JAJI Mkuu wa Zanzibar Mhe. Omat Othman Makungu akiongoza Maandamano ya Majaji wa Mahakama Kuu ya Zanzibar wakielekea katika Jukwaa lililoandaliwa kwa ajili ya kumuapisha Rais Mteule wa Zanzibar, Mhe Dk. Hussein Ali Mwinyi, hafla hiyo imefanyika katika Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar juzi 2/11/2020.
TULIKUTA VIROBA NANE VYENYE VIUNGO VYA BINADAMU: SHAHIDI
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv
MKUU wa Upelelezi Kituo cha Polisi Kawe, Joram Magova (45) ameieleza
Mahakama Kuu Masijala ndogo ya Dar es Salaam kwamba ali...
15 minutes ago

No comments:
Post a Comment