Habari za Punde

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe, Hemed Suleiman Atembelea Nyumba za Maafa Tumbe Pemba Wakati wa Ziara Yake

MUONEKANO wa Nyumba za maafa Tumbe, zikiwa katika hatua za mwisho kukamilika kwa ujenzi wake, ili wananchi waweze kutumia nyumba hizo
MAKAMU wa Pili wa Rais Zanzibar Hemed Suleiman Abdulla (katikati), akikagua nyumba za maafa zilizojengwa katika kijiji cha Tumbe, ambapo kwa sasa nyumba hizo ziko katika hatua ya mwisho kumalizika ujenzi wake, huku akiwa amefuatana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili Dk.Khalid Salum Mohamed na wakwanza kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba Omar Khamis Othaman
MAKAMU wa Pili wa Rais Zanzibar Hemed Suleiman Abdulla, akipata amaelezo ya nyumba za maafa zilizoko kijiji cha Tumbe, kutoka kwa Mkurrugenzi wa kamisheni ya Kukabiliana na Maafa Zanzibar Makame Khatib Makame, mara baada ya kutembelea nyumba hizo

BAADHI ya wazee wa kijiji cha Tumbe wakimsikiliza kwa makini Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Hemed Suleiman Abdulla, wakati alipokua akizungumza nao baada ya kukagua nyumba za maafa zilizoko Tumbe.

(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.