Aliekuwa Waziri wa Nchi
Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Azzan Zungu akikabidhi Ofisi
kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Ummy
Mwalimu. Hafla hiyo ya makabidhiano imefanyika hii leo katika Mji wa Serikali
Mtumba, Dodoma. Kushoto ni Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Balozi
Joseph Sokoine.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Ummy Mwalimu akiteta jambo Aliekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Azzan Zungu mapema hii leo katika mji wa Serikali Mtumba Dodoma,
Aliekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Azzan Zungu akikabidhi Ofisi kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Ummy Mwalimu. Hafla hiyo ya makabidhiano imefanyika hii leo katika Mji wa Serikali Mtumba, Dodoma.
No comments:
Post a Comment