Jengo jipya la Ofisi ya ZSSF Pemba ambalo liliwekewa jiwe la msingi tarehe 5/8/2020 na Rais Mstaafu Dr. Ali Mohamed Shein kwa tayari sasa limekamilika. Hivi sasa lipo katika hatua za mwisho za kukamilisha mradi na linatarajiwa kufunguliwa na kuhamiwa hivi karibuni. Jengo hili limejengwa na kampuni ya kizalendo kabisa
MAKALLA APIGA GOTI AKIOMBA KUTOGOMBEA UBUNGE MVOMERO
-
MVOMERO: Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa
Chama Cha Mapinduzi (CCM), CPA Amos Makalla amepiga goti kuwaomba wananchi
wa Mvo...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment