Jengo jipya la Ofisi ya ZSSF Pemba ambalo liliwekewa jiwe la msingi tarehe 5/8/2020 na Rais Mstaafu Dr. Ali Mohamed Shein kwa tayari sasa limekamilika. Hivi sasa lipo katika hatua za mwisho za kukamilisha mradi na linatarajiwa kufunguliwa na kuhamiwa hivi karibuni. Jengo hili limejengwa na kampuni ya kizalendo kabisa
TANZANIA YATUMIA MICHUANO YA AFCON 2025 KUUZA MAZAO YA UTALII
-
Na mwandishi wetu, Morocco
NAIBU Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamad Hassan Chande (Mb), amesema
Tanzania inatumia fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (...
4 hours ago



0 Comments