Habari za Punde

Waandishi wa Habari Pemba Wapatiwa Mafunzo ya Ufuatiliaji wa Tathimini ya Kitaifa,

MKUU wa Kitengo cha ufuatiliaji na Tathmini Kitaifa kutoka Tume ya Mipango Zanzibar Jamila Abass Seif, akifungua mafunzo ya siku moja kwa waandishi wa habari kutoka vyombo mbali mbali vya habari Pemba, juu ya uwasilishaji wa ufuatiliaji wa mpango wa maendeleo Julai hadi Septemba 2020
BAADHI ya waandishi wa habari kutoka Vyombo mbali mbali vya habari kisiwani Pemba, wakifuatilia kwa makini uwasilishaji wa Mpango wa maendeleo Julai hadi Septemba 2020, uliowasilishwa na watendaji kutoka Tume ya Mipango Zanzibar
MKUU wa kitengo cha ufuatiliana na Tathmini kutoka Tume ya Mipango Zanzibar Hamid Abdalla Haji, akiwasilisha mpango wa maendeleo Julai hadi Septemba 2020, kwa waandishi wa habari kutoka Vyombo mbali mbali vya habari Kisiwani Pemba, mkutano uliofanyika mjini chake chake
MKUU wa Kitengo cha ufuatiliaji na Tathmini Kitaifa kutoka Tume ya Mipango Zanzibar Jamila Abass Seif, akiwa na Kaimu Mkurugenzi Mawasiliano Ikulu Mwatima Issa(katikati) wakifuatilia uwasilishaji wa Mapango wa maendeleo Julai hadi Septemba 2020, kwa waandishi wa habari kutoka vyombo mbali mbali vya habari Pemba

MWANDISHI wa habari kutoka Swahiba FM Fatama Hamad Faki, akichangia mada wakati wa uwasilishwaji wa mpango wa maendeleo Julai hadi Septemba 2020.

(Picha na Abdi Suleiman - Pemba )

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.