Mkurugenzi wa Masoko wa Shirika la Bima la Taifa Tanzania Ndg.Yessaya Mwakifulefule akimkabidhi zawadi Mchezaji Bora wa Mchezo wa Kombe la Mapinduzi Cup Mchezaji wa Timu ya Azam Daniel Amoa baada ya kuibuka mchezaji bora wa mchezo huo uliofanyika jana usiku na kushoto Meneja wa Shirikala la Bima la Taifa Tawi la Zanzibar Ndg.Yussuf Haji na (kulia Maofisa wa Bima NIC Bi.Lillian Manumbu na Zakia Mbonja .
Mkurugenzi wa Masoko wa Shirika la Bima la Taifa Tanzania Ndg.Yessaya Mwakifulefule akimkabidhi zawadi Mchezaji Bora wa Mchezo wa Kombe la Mapinduzi Cup Mchezaji wa Timu ya Azam Daniel Amoa baada ya kuibuka mchezaji bora wa mchezo huo uliofanyika jana usiku na kushoto Meneja wa Shirikala la Bima la Taifa Tawi la Zanzibar Ndg.Yussuf Haji na (kulia Maofisa wa Bima NIC Bi.Lillian Manumbu na Zakia Mbonja .
Mndolwa amtaka mkandarasi kuzingatia viwango mradi wa Kasoli Shinyanga
-
Na MWANDISHI WETU
Mkurugenzi Mkuu Tume ya Taifa ya Umwagiliaji Raymond Mndolwa, amefanya
ziara ya kushtukiza na kukagua mradi wa Umwagiliaji Mkoani Simiyu ...
7 minutes ago
No comments:
Post a Comment