Mkurugenzi wa Masoko wa Shirika la Bima la Taifa Tanzania Ndg.Yessaya Mwakifulefule akimkabidhi zawadi Mchezaji Bora wa Mchezo wa Kombe la Mapinduzi Cup Mchezaji wa Timu ya Azam Daniel Amoa baada ya kuibuka mchezaji bora wa mchezo huo uliofanyika jana usiku na kushoto Meneja wa Shirikala la Bima la Taifa Tawi la Zanzibar Ndg.Yussuf Haji na (kulia Maofisa wa Bima NIC Bi.Lillian Manumbu na Zakia Mbonja .
Mkurugenzi wa Masoko wa Shirika la Bima la Taifa Tanzania Ndg.Yessaya Mwakifulefule akimkabidhi zawadi Mchezaji Bora wa Mchezo wa Kombe la Mapinduzi Cup Mchezaji wa Timu ya Azam Daniel Amoa baada ya kuibuka mchezaji bora wa mchezo huo uliofanyika jana usiku na kushoto Meneja wa Shirikala la Bima la Taifa Tawi la Zanzibar Ndg.Yussuf Haji na (kulia Maofisa wa Bima NIC Bi.Lillian Manumbu na Zakia Mbonja .
WAAZIMIA KUWABURUZA MAHAKAMANI WAHUJUMU MIUNDOMBINU YA UMEME TANDAHIMBA
-
-Wananchi watahadharishwa kuepuka vishoka
WENYEVITI wa Serikali za vijiji na vitongoji Wilaya ya Tandahimba Mkoa wa
Mtwara wamesema hawatakuwa na huruma kw...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment