Habari za Punde

Katibu Mkuu Wizara ya Habari Vijana Utamaduni na Michezo akutana na watendaji wa wizara yake kisiwani Pemba

NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Habari Vijana Utamaduni na Michezo Zanzibar Khamis Abdalla Saidi, akizungumza katika kikao cha kwanza na wafanayakazi wa Wizara hiyo Pemba, kilichokuwa na lengo la kujitambulisha kwao kikao kilichofanyika mjini chake chake.

BAADHI ya wakuu wa maidara zilizomo ndani ya Wizara ya Habari Vijana Utamaduni na Michezo Pemba, wakiwasiliza kwa makini katibu Mkuu wa Wizara hiyo wakati alipokua akizungumza nao, kikao kilichofanyika mjini Chake Chake.

KATIBU Mkuu Wizara ya Habari Vijana Utamaduni na Michezo Zanzibar Fatma Hamad Rajab, akizungumza kwa mara ya kwanza na wafanayakazi wa wizara hiyo Pemba, hafla iliyofanyika mjini Chake Chake.

MENEJA wa Uwanja wa Michezo Gombani Issa Juma akielezea changamoto zinazomkabili ndani ya uwanja huo, wakati wa kikao na katibu mkuu wizara ya Habari Vijana Utamaduni na Michezo Zanzibar kikao kilichofanyika mjini chake chake.

(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.