Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt. Faustine Ndugulile (wa kwanza kulia) akimsikiliza Saida Ally, mkufunzi wa TEHAMA kwa wasichana alipotembelea Ndaki ya TEHAMA ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dar es Salaam.
Waziri waMawasilianonaTeknolojiaya Habari, Dkt. FaustineNdugulileakipatataarifakuhusukampuniya TEHAMA yaMagila Tech iliyoanzishwana Godfrey Magila (anayezungumza) wakatiwaziarayakekwenyeTumeyaTaifayaSayansinaTeknolojia, Dar es Salaam
Waziri waMawasilianonaTeknolojiaya Habari, Dkt. FaustineNdugulileamesemakuwaSerikaliitawekamazingirawezeshiyakuendelezavijanawabunifuwa TEHAMA nchini
Ndkt. NdugulileameyasemahayoleowakatiwaziarayakeyakutembeleaTumeyaTaifayaSayansinaTeknolojia (COSTECH) naNdakiya TEHAMA ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (COICT) zilizopo Dar es Salaam
Amesemakuwavijanawanabunimifumombalimbaliya TEHAMA yakutatuachangamoto za wananchiilawanakosamazingirawezeshiyakuendelezanakukuzabunifuzaokama vile kupatiwa mudamaalumuwakuingizasokonibunifuzaokwakufanyamajaribioyabunifuhizokukubalikakwawananchibilakulazimikakulipiagharama za usajili, kupatamasoko, malipoyakodinalesenikuendananamatakwayauendeshajiwakampuninabiasharanchini
AmesisitizakuwaazmayaSerikalinikuendelezawabunifuwa TEHAMA iliwawezekutengenezamifumokuendananamahitajiyawananchibadalayakuendeleakununuamifumohiyokwagharamakubwakutokanjeyanchiambapoSerikaliinatumiafedhanyingikununuamifumoya TEHAMA
Amefafanuakuwautengenezajiwamifumoya TEHAMA hapanchiniutaongezawigowamatumiziyaintanetinahuduma za mawasilianonaitajibuchangamoto za wananchinaametoa rai kwawatanzaniakujengaimaniyakutumiateknolojiarahisizinazobuniwanavijanawandaniyanchibilakujaliumri, uzoefu au majinayakampunizao
NayeMkurugenziMkuuwa COSTECH, Dkt. Amos Nunguamesemakuwavijanahaomwameanzishakampunizaidiya 20 za mifumoya TEHAMA natayarimifumohiyoinasaidiakukusanyakodikwenyehalmashauri; kuwawezeshavijanakusoma VETA kwanjiayamtandaona TIGO kuwezakuhifadhitaarifa za wateja wake
NaibuMakamuMkuuwa Chuo Kikuu, utafitinaubunifu, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. BenadethaKiliani naMkuuwaNdakiya TEHAMA ya Chuo hicho,Dkt. MussaKisakawamesemakuwa Chuo kikotayarikushirikiananaWizarailikuendelezavijanawabunifunawatafitiwa TEHAMA nchini
Akizungumzakwaniabayavijanawabunifuwa TEHAMA, GeofreyMagilaameiombaSerikalikuwawezeshawakubalikenakuaminikanawapewekazibadalayakampunizaokufanyakazikwakutumiamgongonamajinayakampuninyinginekwakuwakampunizaoni changa nahazinamtajiwakutoshakuingiakwenyeushindaniwazabunizinazotangazwazinazohusumifumoya TEHAMA
No comments:
Post a Comment