Maendeleo ya ujenzi
wa Barabara ya Morocco-Mwenge km 4.5 inayojengwa kwa njia 4 mpya, service road,
taa za Kisasa, mifereji mikubwa ya kupitisha maji ukiwa umefikia asilimia 70.35,
mradi huu utapunguza kwa kiasi kikubwa msongamano wa magari katika barabara ya
Ali Hassan Mwinyi pamoja na maingilio ya barabara ya Kawawa na Shekilango mkoani
Dar es Salaam. PICHA NA IKULU.
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment