Maendeleo ya ujenzi
wa Barabara ya Morocco-Mwenge km 4.5 inayojengwa kwa njia 4 mpya, service road,
taa za Kisasa, mifereji mikubwa ya kupitisha maji ukiwa umefikia asilimia 70.35,
mradi huu utapunguza kwa kiasi kikubwa msongamano wa magari katika barabara ya
Ali Hassan Mwinyi pamoja na maingilio ya barabara ya Kawawa na Shekilango mkoani
Dar es Salaam. PICHA NA IKULU.
MSAFARA WA BAISKELI WA TWENDE BUTIAMA 2025 WAANZA RASMI KUTOKA DAR ES SALAAM
-
Dar es Salaam, Julai 2, 2025
Msafara wa baiskeli wa Twende Butiama mwaka 2025 umeanza rasmi leo jijini
Dar es Salaam, ukiwa na waendesha baiskeli zaidi ya ...
45 minutes ago
No comments:
Post a Comment