Maendeleo ya ujenzi
wa Barabara ya Morocco-Mwenge km 4.5 inayojengwa kwa njia 4 mpya, service road,
taa za Kisasa, mifereji mikubwa ya kupitisha maji ukiwa umefikia asilimia 70.35,
mradi huu utapunguza kwa kiasi kikubwa msongamano wa magari katika barabara ya
Ali Hassan Mwinyi pamoja na maingilio ya barabara ya Kawawa na Shekilango mkoani
Dar es Salaam. PICHA NA IKULU.
Tutuba: Someni Masharti Kabla ya Kukopa, Mikopo Umiza Kudhibitiwa
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
GAVANA wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Emmanuel Tutuba, amezitaka taasisi
zinazotoa mikopo bila kuwa na leseni ya daraja la...
5 minutes ago
No comments:
Post a Comment