WAANDISHI wa habari wa shirika la Magazeti ya
Serikali Zanzibar Ofisi ya Pemba, Habiba Zarali na Zuhura Juma wakifahamisha
kwa vitendo juu ya uwekaji wa habari zinazohusiana na wanawake na uongozi
katika mitandao ya kijamii, baada ya kupatiwa mafunzi ya matumizi ya mitandao na
TAMWA Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,
PEMBA)
Maisha : Rais Dkt. Samia Ashiriki Ufunguzi wa Hema la Ibada ya Kanisa la
Arise and Shine Kawe Jijini Dar es Salaam
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu
Hassan akisogeza kitambaa kama ishara ya kuweka jiwe la msingi na kukata
utepe Ufu...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment