WAANDISHI wa habari wa shirika la Magazeti ya
Serikali Zanzibar Ofisi ya Pemba, Habiba Zarali na Zuhura Juma wakifahamisha
kwa vitendo juu ya uwekaji wa habari zinazohusiana na wanawake na uongozi
katika mitandao ya kijamii, baada ya kupatiwa mafunzi ya matumizi ya mitandao na
TAMWA Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,
PEMBA)
TANZANIA YATUMIA MICHUANO YA AFCON 2025 KUUZA MAZAO YA UTALII
-
Na mwandishi wetu, Morocco
NAIBU Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamad Hassan Chande (Mb), amesema
Tanzania inatumia fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (...
7 hours ago

0 Comments