WAANDISHI wa habari wa shirika la Magazeti ya
Serikali Zanzibar Ofisi ya Pemba, Habiba Zarali na Zuhura Juma wakifahamisha
kwa vitendo juu ya uwekaji wa habari zinazohusiana na wanawake na uongozi
katika mitandao ya kijamii, baada ya kupatiwa mafunzi ya matumizi ya mitandao na
TAMWA Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,
PEMBA)
BAJETI YA TAMISEMI YAWAPA TUMAINI WANAHARAKATI WA JINSIA
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
ONGEZEKO la fedha shilingi Trilioni 10 kwenye bajeti ya Wizara ya Tamisemi
imeibua matumaini kwa Wanaharakati wa masuala ya...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment