Bendela katika jengo la Afisi Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Kisiwandui Jijini Zanzibar zikipepea nusu mlongoti kwa ajili ya kuombeleza kifo cha Rais Mstaaf wa Zambia Hayati Kenneth Kaunda, Tanzania ikiungana na Wananchi wa Zambia katika kuombeleza Kifo cha Rais Mstaafa wa Zambia.
GGML, OSHA WAWANOA MAMA LISHE ARUSHA KUKABILIANA NA MAJANGA YA MOTO
-
Na Mwandishi Wetu, Arusha
KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kushirikiana na Wakala wa
Usalama na Afya Mahala pa Kazi (OSHA), imetoa mafunzo...
37 minutes ago
No comments:
Post a Comment