Bendela katika jengo la Afisi Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Kisiwandui Jijini Zanzibar zikipepea nusu mlongoti kwa ajili ya kuombeleza kifo cha Rais Mstaaf wa Zambia Hayati Kenneth Kaunda, Tanzania ikiungana na Wananchi wa Zambia katika kuombeleza Kifo cha Rais Mstaafa wa Zambia.
OFISI YA MAKAMU WA RAIS KUTEKELEZA MRADI WA MAZINGIRA BUNDA
-
Ofisi ya Makamu wa Rais inasimamia utekelezaji wa Mradi wa Bunda Climate
Resilience and Adaptation Project katika Wilaya ya Bunda mkoani Mara ili
kukabili...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment