Habari za Punde

Bendera Zikiwa Nusu Mlingoti Katika Jengo la Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Kuombeleza Kifo cha Rais Mstaaf wa Zambia Hayati Kenneth Kaunda.

Bendela katika jengo la Afisi Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Kisiwandui Jijini Zanzibar zikipepea nusu mlongoti kwa ajili ya kuombeleza kifo cha Rais Mstaaf wa Zambia Hayati Kenneth Kaunda, Tanzania ikiungana na Wananchi wa Zambia katika kuombeleza Kifo cha Rais Mstaafa wa Zambia. 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.