MKURUGENZI wa Chama
cha waandishi wa habari wanawake Tanzania-Zanzibar Dr.Mzuri Issa, akitoa
maelezo mafupi katika mkutano wa kushirikishana kuhusu hatua za utekelezaji wa
mpango wa kitaifa wa kupambana na udhalilishaji Zanzibar 2017/2022 uliofanyika
katika ofisi za Tamwa Mkanjuni Pemba
MRATIBU wa TAMWA
Zanzibar upande wa Pemba Fat-hiya Mussa Said, akiwasilisha ripoti ya utafiti
mdogo wa muonekano na Utendaji wa Mahakama maalumu ya kushughulikia
udhalilishaji, kwa wadau kutoka taasisi mbali mbali zinazoshuhulika na masuala
ya udhalilishaji Pemba, mkutano Uliofanyika katika ofisi za chama hicho
Mkanjuni Pemba.
MKUU wa Idara ya
jinsia na watoto Pemba Mwanaisha Ali Massoud, akifungua mkutano wa siku moja
kwa niaba ya Afisa Mdhamini Wizara ya afya ustawi wa jamii wazee jinsia na
watoto, mkutano uliofanyika katika ofisi za TAMWA Pemba.
WADAU kutoka taasisi mbali mbali zinazoshuhulika na masuala ya udhalilishaji wa wanawake na watoto Pemba, wakifuatilia kwa makini uwasilishaji wa ripoti mbali mbali za uzalilishaji, mkutano uliofanyika katika ukumbi wa chama cha waandishi wa habari wanawake Tanzania/Zanzibar kwa upande wa Pemba.
(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
No comments:
Post a Comment