Habari za Punde

Makamu wa Rais wa Tanzania Mhe.Dk.Philip Mpango Ziarani Mkoani Kigoma.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akifungua maji katika moja ya vituo vya maji vinavyonufaika na mradi wa maji Munanila uliopo katika Kijiji cha Munanila Wilaya ya Buhigwe Mkoa wa Kigoma.




Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akikagua Ujenzi wa Soko la lakisasa la Muyama Wilayani Buhigwe.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Nyarubanda aliposimama kuwasilimu akiwa njiani kuelekea wilayani Buhigwe. Makamu wa Rais yupo ziarani mkoani Kigoma

 PICHA – OFISI YA MAKAMU WA RAIS


 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.