Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi Awatembelea na Kuwafariji Wagonjwa Katika Hospitali Kuu ya Mnazi Mmoja Jijini Zanzibar.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiongozana na Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali Kuu ya Mnazi Mmoja.Dr.Msafiri Marijani, alipowasili katika viwanja vya Hospitali Kuu ya Mnazi Mmoja kuwatembelea na kuwajulia hali Wagonjwa waliolazwa katika Hospitali hiyo.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimjulia hali mmoja wa Wagonjwa waliolazwa katika Hospitali ya Mnazi Mmoja Ndg. Said Mussa, aliyelazwa katika Wodi ya Wagonjwa waliopata ajali
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimjulia hali Mtoto Samir Haji akiwa amepakatwa na Mama yake Bi. Zulfa Vuai Mwinyi, alipotembelea Wodi ya Watoto katika jengo la Taasisi ya ‘ Neurosurgical Institute’ katika Hopitali ya Mnazi Mmoja Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimjulia hali Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Jinsia Wazee na Watoto Zanzibar. Mhe. Nassor Ahmed Mazrui aliyelazwa katika  la Wodi ya Taasisi ya ‘Neurosurgical Institute’ katika Hospitali Kuu ya Mnazi Mmoja Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimjulia hali Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Jinsia Wazee na Watoto Zanzibar. Mhe. Nassor Ahmed Mazrui aliyelazwa katika  la Wodi ya Taasisi ya ‘Neurosurgical Institute’ katika Hospitali Kuu ya Mnazi Mmoja Jijini Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.