Habari za Punde

Wabunge kisiwani Pemba washiriki katika zoezi la uchangiaji damu

MBUNGE wa jimbo la Chake Chake Ramadhan Suleiman Ramadhan, akiwekewa plasta na daktari Firdaus Juma kutoka kitengo cha damu salama Pemba, mara baada ua kumaliza kuchangia damu wakati wa bonanza la uchangiaji wa Damu lililofanyika Madungu, ambapo chupa 26 za damu zilikusanywa.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

MBUNGE wa Viti maalumu wanawake Mkoa wa Kusini Pemba Mariyam Azani Mwinyi, akichoma shindano ya kuchangia damu salama wakati wa bonanza la uchangiaji damu na daktari Firdaus Juma kutoka kitengo cha damu salama Pemba, wakati wa bonanza maalumu aliloliandaa kwa wanamichezo Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.