Habari za Punde

MAJALIWA ATOA POLE KWA FAMILIA YA BISWAD MSUYA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwapa pole familia ya marehemu Biswad Msuya, Kaka Mkubwa wa Mkurugenzi Mkuu wa Usalama wa Taifa, Diwani Athumani Msuya (kushoto) nyumbani kwa marehemu, Mbezi Beach jijini Dar es salaam,
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Usalama wa Taifa, Diwani Athumani Msuya  wakati alipohani msiba wa Biswad Msuya, Kaka Mkubwa wa  Mkurugenzi huyo, nyumbani kwa marehemu, Mbezi Beach  jijini Dar es salaam, Agosti 4, 2021. 
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.