Habari za Punde

Taarifa ya mabadiliko ya kuzimwa umeme Unguja

 TAARIFA YA MABADILIKO YA KUZIMWA UMEME UNGUJA.


Shirika la Umeme Zanzibar linawatangazia wananchi wa Unguja kuwa ile kazi ya matengenezo iliyokusudiwa kufanyika Jumanne tarehe 31/08/2021katika njia (laini)  ya umeme Kunduchi haitafanyika na badala yake itafanyika Jumatano tarehe 01/09/2021. Muda ni kuanzia saa 2:00 asubuhi hadi 5:00 asubuhi. Matengenezo hayo yataifanya Unguja kukosa umeme.


Shirika linaomba radhi kwa mabadiliko hayo.


................................. .........    ...............

Toa taarifa ya umeme kwa kuwasiliana nasi kituo cha huduma simu  0772877879.


............tunapatikana..........

#tovuti: https://www.zeco.co.tz

#facebook: Zanzibar Electricity Corporation 

#twitter: Zanzibar Electricity Corporation 

#instagram:zeco_zanzibar

#youtube: ZECO_Zanzibar

#whatsapp: 0772877879

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.