Habari za Punde

Naibu Mrajisi wa Ardhi Pemba Akabidhi Hati za Matumizi ya Ardhi Kwa Wananchi.

BIBI Amina Mohd Said (kushoto) akipokea hati ya haki ya matumizi ya ardhi, kutoka kwa Mkurugenzi wa Jumuiya ya KUKHAWA (kulia) Hafid Abdi Said, katikati ni Naibu Mrajis wa Ardhi Pemba Asha Suleiman Said, hafla iliyofanyika katika ofiosi za KUKHAWA Chake Chake Pemba

NAIBU Mrajis wa Ardhi Asha Suleiman Said, akiwaonyesha wananchi hati ya haki ya matumizi ya ardhi kwa wananchi, wakati wa kukabidhi hati hiyo kwa Amina Mohamed Said mkaazi wa shehia ya Wara Machomanne, hafla iliyofanyika katika ofisi za KUKHAWA Chake Chake Pemba.

(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.