RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua ikisomwa na Katibu wa Mufti
Mkuu wa Zanzibar Sheikh Khalid Ali Mfaume.(kushoto kwa Rais) na (kulia kwa
Rais) Mtoto wa Marehemu Mohammed Suleiman Nyanga na Rais Mstaaf wa Zanzibar
Alhaj Dkt. Amani Karume wakiitikia dua baada ya kumalizika kwa Sala ya kuusalia
mwili wa marehemu iliofanyika katika Msikiti wa Miembeni Wilaya ya Mjini Unguja
Viongozi Wastaaf wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar wakishiriki katika maziko na Sala ya Marehemu Suleiman Nyanga iliofanyika katika Msikiti wa Miembeni Wilaya ya Mjini Unguja kutoka kushoto Rais Mstaaf wa Zanzibar Alhaj Dk. Ali Mohamed Shein, Rais Mstaaf wa Alhaj Dkt. Amani Abeid Karume na Makamu wa Pilin wa Rais Mstaaf Alhaj Balozi Seif Ali Iddi.
WANANCHI na Wauminin wa Kiislam wakiwa wamebeba jeneza
likiwa na mwili wa marehemu Suleiman Othman Nyanga baada ya kumalizika kwa
Ibada ya Sala ya kuusalia mwili wa marehemi iliofanyika katika Msikiti wa
Miembeni Wilaya ya Mjini Unguja.
WANANCHI na Wauminin wa Kiislam wakiwa wamebeba jeneza
likiwa na mwili wa marehemu Suleiman Othman Nyanga baada ya kumalizika kwa
Ibada ya Sala ya kuusalia mwili wa marehemi iliofanyika katika Msikiti wa
Miembeni Wilaya ya Mjini Unguja.
No comments:
Post a Comment