KATIBU Mkuu wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi wa
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Gabriel Migire (kulia),
akimsikiliza mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Bandari Zanzibar Nahat Mohamed
Mahafoudh, wakati akitoa historia ya Mnara wa wa kuongozea meli uliopo Kigomasha Wilaya ya Micheweni, wakati wa ziara ya Mashirikiano kati ya Wizara
ya Ujenzi na Uchukuzi SMT na Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na Uchukuzi Zanzibar.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
MKURUGENZI wa huduma za Meli kutoka Wizara ya Ujenzi
na Uchukuzi SMT Kepteni Abdullah Mwingamno, akitoa maelezo ya kitaalamu juu ya
umuhimu wa mnara wakuongezea meli uliopo Kigomasha, kwa meli za kimataifa
zinazopita nje ya kisiwa cha Pemba, wakati wa ziara ya Mashirikiano kati ya
Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi SMT na Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na Uchukuzi
Zanzibar.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
BAADHI ya watendaji kutoka Wizara ya Ujenzi na
Uchukuzi SMT, wakibadilishana maelezo baada ya kuwasili katika mnara wa
kuongozea meli uliopo kigomasha Wilaya ya Micheweni, wakati wa ziara ya
Mashirikiano kati ya Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi SMT na Wizara ya Ujenzi
Mawasiliano na Uchukuzi Zanzibar.(PICHA
NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
KATIBU Mkuu Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na Uchukuzi
Zanzibar Amour Hamil Bakari, akimfahamisha jambo Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi
na Uchukuzi SMT Gabriel Migire, wakati wa ziara ya Mashirikiano kati ya Wizara
ya Ujenzi na Uchukuzi SMT na Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na Uchukuzi Zanzibar.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
KATIBU Mkuu Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi SMT Gabriel
Migire akisikiliza swali kutoka kwa waandishi wa habari kutoka vyombo mbali
mbali vya habari, juu ya ziara yao ya mashirikiano baina ya watendaji kutoka
wizara ya Ujenzi na Uchukuzi SMT na Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na Uchukuzi
Zanzibar.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
No comments:
Post a Comment