WAZIRI wa Habari
Vijana Utamaduni na Michezo Zanzibar Tabia Maulid Mwita (mtandio wa
manjano)akiungana na wasanii mbali mbali katika kuimba wimbo maalumu katika
uzinduzi wa wiki ya vijana kitaifa huko Chato Mkoani Geita.(PICHA NA WHVUM
KATIBU Mkuu Wizara ya Habari Vijana Utamaduni na
Michezo Zanzibar Fatma Hamad Rajab, akifanya usafi katika nyumba ya hayati
Magufuli, ikiwa ni wiki ya vijana kitaifa huko Chato mkoani Geita.(PICHA NA WHVUM)
WAZIRI wa Habari Vijana Utamaduni na Michezo
Zanzibar Tabia Maulid Mwita, akisaini Kitabu katika banda la wakimbizaji wa
mwenge wa uhuru kitaifa, kwenye maonyesho yanayoendelea huko Chato Mkoani
Geita.(PICHA NA WHVUM)
No comments:
Post a Comment