VIJANA kutoka Mkoa wa Kusini Pemba, wakifuatilia kwa
makini uzinduzi wa mradi wa kuhamasisha Vijana na wanawake kutunza Amani ndani
ya Mkoa huo, mradi huo unaotekelezwa na PECO kwa kushirikiana na Search for
Common Ground, Foundation For Civil Society kwa ufadhili wa Ummoja wa Nchi za
Ulaya.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
MRATIB wa mradi wa Kuhamasisha Vijana na Wanawake
kutunza Amani Mkoa wa Kusini Pemba na katibu wa PECEO Juma Said, akitoa taarifa
fupi ya mradi huo unaotekelezwa na PECO kwa kushirikiana na Search for Common
Ground, Foundation For Civil Society kwa ufadhili wa Ummoja wa Nchi za Ulaya.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
MKUU wa Polisi Wilaya ya Chake Chake Akama Mohamed
Shaaban, akitoa nasaha zake wakati wa uzinduzi wa mradi wa kuhamasisha Vijana
na wanawake kutunza Amani Mkoa wa Kusini Pemba, mradi huo unaotekelezwa na PECO
kwa kushirikiana na Search for Common Ground, Foundation For Civil Society kwa
ufadhili wa Ummoja wa Nchi za Ulaya.(PICHA
NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
MKUU wa Mkoa wa Kusini Pemba Mattar Zahor Massoud,
akizungumza na vijana na wananwake mara baada ya uzinduzi wa mradi wa
kuhamasisha Vijana na Wanawake kutunza Amani Mkoa wa Kusini Pemba, mradi huo
unaotekelezwa na PECO kwa kushirikiana na Search for Common Ground, Foundation
For Civil Society kwa ufadhili wa Ummoja wa Nchi za Ulaya.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
WASANII wa kikundi cha PECODE kutoka Ngwachani
wakitoa moja ya burudani za kuhamasisha suala zima la Amani, wakati wa uzinduzi
wa mradi wa kuhamasisha Vijana na Wanawake Kutunza Amani Mkoa wa Kusini Pemba,
mradi huo unaotekelezwa na PECO kwa kushirikiana na Search for Common Ground,
Foundation For Civil Society kwa ufadhili wa Ummoja wa Nchi za Ulaya.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
No comments:
Post a Comment