AFISA elimu Wilaya ya
Chake Chake Burhan Khamis Juma, akitoa nasaha kwa walimu wa skuli za msingi na
Sekondari waliohitimu Mafunzo ya Elimu Mtandao na Masafa, yaliyotolwa na ya Shaibu
Foundation na kufanyika mjini Chake Chake
Rais Taasisi ya
Shaibu Foundation Mustafa Mohamed Said Aburabi (Mustafa Moyo), akisoma Risala
ya sherehe ya kuwazawadia vyeti Walimu waliohitimu mafunzo ya elimu Mtandao na
Masafa, kwa walimu waskuli za masingi na sekondari Pemba, mafunzo yaliyotolewa
na taasisi ya Shaibu Foundation.
WALIMU kutoka Skuli
Mbali Mbali Kisiwani Pemba, wakifuatilia hafla ya kukabidhi vyeti kwa walimu
waliohitimu mafunzo ya elimu mtandano na masafa, yaliyotolewa na taasisi ya Shaibu
Foundation na kufanyika mjini Chake Chake.
WALIMU kutoka Skuli
Mbali Mbali Kisiwani Pemba, wakifuatilia hafla ya kukabidhi vyeti kwa walimu
waliohitimu mafunzo ya elimu mtandano na masafa, yaliyotolewa na taasisi ya Shaibu
Foundation na kufanyika mjini Chake Chake.
MKURUGENZI wa taasisi
ya Shaibu Foundation Mustafa Said Aburabi kulia akimkabidhi afisa Elimu Wilaya
ya Chake Chake Burhan Khamis Juma kushoto cheti cha shukrani kwa Wizara ya
Elimu na Mafunzo ya Amali Pemba, wakati wa kugawa vyeti kwa walimu waliohitimu
mafunzo ya Elimu Mtandao na Masafa, yaliyotolwa na ya Shaibu Foundation na
kufanyika mjini Chake Chake.
MKURUGENZI wa taasisi
ya Shaibu Foundation Mustafa Said Aburabi kulia akimkabidhi afisa Elimu Wilaya
ya Chake Chake Burhan Khamis Juma kushoto cheti cha shukrani kwa Wizara ya
Elimu na Mafunzo ya Amali Pemba, wakati wa kugawa vyeti kwa walimu waliohitimu
mafunzo ya Elimu Mtandao na Masafa, yaliyotolwa na ya Shaibu Foundation na
kufanyika mjini Chake ChakeAfisa Elimu Wilaya ya
Chake Chake Burhan Khamis Juma kuliam akimkabidhi cheti Mwalimu Bimkubwa Gongo
Shaban kutoka skuli ya Ng’ambwa, baada ya kuhitimu mafunzo ya Elimu Mtandano na
Masafa, mafunzo yaliyotolwa na ya Shaibu Foundation na kufanyika mjini Chake
Chake.
No comments:
Post a Comment