Afisa Mwandamizi wa Benki ya Watu wa Zanzibar Ltd (PBZ) Ndg.Mohammed akitowa maelezo ya huduma zinazotolewa na PBZ kwa Wananchi waliofika katika banda lao kupata huduma zao wakati wa maonesho ya Biashara kuadhimisha Miaka 58 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, maonesho yanayofanyika katika viwanja vya Maisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja.
MWENGE WA UHURU WAZINDUA KITUO CHA POLISI NYAKITONTO KWA AJILI YA KUONGEZA
USALAMA
-
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Ismail Alli Issu, amesema
uwepo wa miradi mingi yenye thamani kubwa katika Halmashauri ya Wilaya ya
Kasulu ni...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment