Afisa Mwandamizi wa Benki ya Watu wa Zanzibar Ltd (PBZ) Ndg.Mohammed akitowa maelezo ya huduma zinazotolewa na PBZ kwa Wananchi waliofika katika banda lao kupata huduma zao wakati wa maonesho ya Biashara kuadhimisha Miaka 58 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, maonesho yanayofanyika katika viwanja vya Maisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja.
TANROADS YATEKELEZA AGIZO LA RAIS SAMIA KUTATUA CHANGAMOTO YA FOLENI
MBAGALA RANGI TATU
-
Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoa wa Dar es Salaam imetia saini
mkataba wa ujenzi wa barabara ya njia nne kutoka Mbagala Rangi Tatu hadi
Kon...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment