Afisa Mwandamizi wa Benki ya Watu wa Zanzibar Ltd (PBZ) Ndg.Mohammed akitowa maelezo ya huduma zinazotolewa na PBZ kwa Wananchi waliofika katika banda lao kupata huduma zao wakati wa maonesho ya Biashara kuadhimisha Miaka 58 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, maonesho yanayofanyika katika viwanja vya Maisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja.
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment