Afisa Mwandamizi wa Benki ya Watu wa Zanzibar Ltd (PBZ) Ndg.Mohammed akitowa maelezo ya huduma zinazotolewa na PBZ kwa Wananchi waliofika katika banda lao kupata huduma zao wakati wa maonesho ya Biashara kuadhimisha Miaka 58 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, maonesho yanayofanyika katika viwanja vya Maisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja.
Wamachinga Dar wakemea uvunjifu wa amani
-
wadai suluhu ya changamoto haitatuliwi kwa uvunjifu wa amani.
Na Mwandishi Wetu
Umoja wa wa Wajasiriamali wa Mkoa wa Dar es Salaam umewataka Watanzania...
6 hours ago
0 Comments