Afisa Mwandamizi wa Benki ya Watu wa Zanzibar Ltd (PBZ) Ndg.Mohammed akitowa maelezo ya huduma zinazotolewa na PBZ kwa Wananchi waliofika katika banda lao kupata huduma zao wakati wa maonesho ya Biashara kuadhimisha Miaka 58 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, maonesho yanayofanyika katika viwanja vya Maisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja.
TANZANIA YAKABIDHI MSAADA WA CHAKULA KWA NCHI YA MSUMBIJI
-
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imekabidhi msaada wa tani 500
za mahindi kwa Serikali ya Jamhuri ya Msumbiji kufuatia mafuriko
yaliyoikumba nch...
7 minutes ago
0 Comments