Waziri wa Nchi, Afisi ya Rais, Fedha na Mipango Dk. Saada Mkuya Salum, amekabidhi ofisi yake ya Waziri wa Afisi ya Makamo wa kwanza wa Rais Bi Harous Said Suleiman kufuatia mabadiliko ya Baraza la Mawaziri Zanzibar yaliofanyika hivi karibuni.
DKT. TULIA ACKSON AACHIA MBIO ZA USPIKA WA BUNGE LA TANZANIA
-
Dkt.Tulia Ackson ametangaza kujiondoa rasmi katika kugombea nafasi ya
Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha
Mapinduzi (CCM...
10 hours ago

No comments:
Post a Comment