Waziri wa Nchi, Afisi ya Rais, Fedha na Mipango Dk. Saada Mkuya Salum, amekabidhi ofisi yake ya Waziri wa Afisi ya Makamo wa kwanza wa Rais Bi Harous Said Suleiman kufuatia mabadiliko ya Baraza la Mawaziri Zanzibar yaliofanyika hivi karibuni.
RAIS SAMIA AIPA TANROADS BIL 66 KUANZA UREJESHAJI MIUNDOMBINU YA BARABARA
ILIYOHARIBIKA
-
Na Mathias Canal
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan ametoa
Bilioni 66 kwa ajili ya kuanza urejeshaji wa miundombinu ya bar...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment