BOTI Nne na Mashine zake zilizokabidhiwa kwa
Wananchi wa Makangale Boti 2 na Kengeja Boti 2,kwa ajili ya Uvuvi na Mashine za
Boti 16 zilizotolewa kwa Vikundi vya Uvuvi Kisiwani Pemba,wakati wa hafla hiyo
iliyofanyika katika Kijiji cha Shumba Mjini Wilaya ya Micheweni Pemba leo
12-4-2022
BOTI Nne na Mashine zake zilizokabidhiwa kwa
Wananchi wa Makangale Boti 2 na Kengeja Boti 2,kwa ajili ya Uvuvi na Mashine za
Boti 16 zilizotolewa kwa Vikundi vya Uvuvi Kisiwani Pemba,wakati wa hafla hiyo
iliyofanyika katika Kijiji cha Shumba Mjini Wilaya ya Micheweni Pemba leo
12-4-2022.

WANANCHI wa Shumba Mjini wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia wakati wa hafla ya kukabidhi Boti Nne na Vifaa vya Uvuvi kwa Wavuvi wa Kengeja na Makangale na kukabidhi Mashine 16 za Boti kwa Wavuvi wa Pemba
No comments:
Post a Comment