Habari za Punde

Tume ya maadili ya viongozi yatoa elimu ya maadili kwa vijana

Afisa kutoka Tume ya maadili ya Viongozi wa Umma Zanzibar Sheha Juma akizungumza na vijana wa Wilaya ya Maghribi "B" wakati wa Utoaji  wa elimu ya maadili Kwa vijana yaliondaliwa na Tume ya maadili ya Viongozi wa Umma Zanzibar,hafla iliyofanyika Ukumbi wa Tawi la CCM Kiembe samaki .
Makamo Mwenyekiti Baraza la Vijana Shehia ya sokoni Maimuna Hasaan Simai akichangia mada katika mafunzo maalum kuhusu maadili yaliyofanyika Ukumbi wa Tawi la CCM Kiembe samaki Zanzibar Chini ya Tume ya maadili ya Viongozi wa Umma Zanzibar.
Afisa kutoka Tume ya maadili ya Viongozi wa Umma Zanzibar Halima Jumbe Said akiwasilisha  mada ya umuhimu wa kuzingatia maadili katika Jamii yetu wakati wa  Utoaji wa elimu ya maadili huko Ukumbi wa Tawi la CCM Kiembe samaki Zanzibar,elimu ya maadili imetolewa Kwa vijana wa Wilaya ya Magharibi "B".
Mwenyekiti Baraza la Vijana Shehia ya Taveta Mohammed Idrisa Makame akichangia mada katika mafunzo maalum kuhusu maadili ya Viongozi wa Umma yaliyotolewa na maafisa kutoka tuma ya maadili ya Viongozi wa umaa Zanzibar,mafunzo hayo yalifanyika Ukumbi wa Tawi la CCM Kiembe samaki.
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.