Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk amesaini Kitabu cha Maombolezo kufuatia kifo cha Rais wa UAE, Sheikh Khalifa bin Zayed bin Sultan Al Nahyan katika Ubalozi wa nchi hiyo leo Jijini Dar es Salaam.
Mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ Kati Mlandege na Mafunzo Mchezo
Uliyofanyika Uwanja wa Mao ZedungTimu hizo Zimetoka Sare ya 0-0
-
Mshambuliaji wa Timu ya Mlandege akiruka mkwanja wa beki wa Timu ya
Mafunzo wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ mchezo
uliyofanyika katika ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment