Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk amesaini Kitabu cha Maombolezo kufuatia kifo cha Rais wa UAE, Sheikh Khalifa bin Zayed bin Sultan Al Nahyan katika Ubalozi wa nchi hiyo leo Jijini Dar es Salaam.
MHE. MCHENGERWA ASHIRIKI SWALA YA EID EL FITRI KINONDONI
-
-Watanzania waaswa kulinda amani
Waziri wa Afya Mhe. Mohamed Mchengerwa leo Machi 21, 2026 ameungana na Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt....
56 minutes ago
0 Comments