Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk amesaini Kitabu cha Maombolezo kufuatia kifo cha Rais wa UAE, Sheikh Khalifa bin Zayed bin Sultan Al Nahyan katika Ubalozi wa nchi hiyo leo Jijini Dar es Salaam.
WANAFUNZI WA KIKE MBEYA NA DODOMA WATEMBELEA KITUO CHA KUTUNZA TAARIFA ZA KAMPUNI YA VODACOM TANZANIA PLC
-
Meneja Matengenezo kituo cha kutunza taarifa cha kampuni ya Vodacom
Tanzania mkoani Dodoma, Mhandisi Josiah Kizinda akitoa ufafanuzi namna
mitambo i...
38 minutes ago
No comments:
Post a Comment