Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk amesaini Kitabu cha Maombolezo kufuatia kifo cha Rais wa UAE, Sheikh Khalifa bin Zayed bin Sultan Al Nahyan katika Ubalozi wa nchi hiyo leo Jijini Dar es Salaam.
Uzinduzi wa Kampeni ya Mgombea Urais wa Zanzibar kwa Tiketi ya Chama Cha
ADA-TADEA Viwanja vya Magirisi Wilaya ya Magharibi "B" Unguja
-
Mgombea Urais wa Zanzibar kwa Chama Cha ADA -TADEA Mhe. Juma Ali Khatib
(kulia )akikabidhiwa Ilani ya Uchaguzi ya mwaka 2025 ya Chama hicho,
wakati wa U...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment