Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapoinduzi ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwasalimia Viongozi wa CCM alipowasili Tawi la CCM Kilima kuhudhuria Mkutano Mkuu wa Wadi ya Migombani Jimbo la Mpendae Zanzibar kuwachagua Viongozi wa Wadi wa Chama Cha Mapinduzi.(CCM)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa
Mhe. Dk.Hussein Ali Mwinyi akifuatilia maelezo ya mmoja wa Mgombea wa nafasi ya
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Wadi ya Migombani Ndg. Sleyum Mustafa
Aboud.(hayupo pichani) akijieleza na kuomba kura kwa Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa
Wadi uliofanyika katika Tawi la CCM Kilimani Unguja leo 6-8-2022 na (kulia kwa
Rais) Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dr. Abdalla Juma Sadala (Mabodi) na
(kushoto kwa Rais) Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mjini Ndg. Talib Ali na Mkuu wa
Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Idrisa Mustafa Kitwana
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa
Mhe. Dk.Hussein Ali Mwinyi akifuatilia maelezo ya mmoja wa Mgombea wa nafasi ya
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Wadi ya Migombani Ndg. Sleyum Mustafa
Aboud.(hayupo pichani) akijieleza na kuomba kura kwa Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa
Wadi uliofanyika katika Tawi la CCM Kilimani Unguja leo 6-8-2022 na (kushoto
kwa Rais) Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mjini Ndg. Talib Ali na Mkuu wa Mkoa wa
Mjini Magharibi Unguja Mhe. Idrisa Mustafa Kitwana
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa
Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akipiga kura
kumchagua Mwenyekiti wa Wadi ya Migombani
Jimbo la Mpendae Zanzibar na Viongozi mbalimbali wa Wadi, wakati wa Mkutano Mkuu wa Wadi ya Migombani
uliofanyika katika Tawi la CCM Kilimani Unguja leo 6-8-2022
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akipiga kura kumchagua Mwenyekiti wa Wadi ya Migombani Jimbo la Mpendae Zanzibar na Viongozi mbalimbali wa Wadi, wakati wa Mkutano Mkuu wa Wadi ya Migombani uliofanyika katika Tawi la CCM Kilimani Unguja leo 6-8-2022RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, akizungumza na Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi Wadi
ya Migombani Jimbo la Mpendae Zanzibar, baada ya kupiga kura yake kuwachagua
Viongozi wa Wadi hiyo, wakati wa Mkutano Mkuu wa Wadi uliofanyika katika ukumbi
wa Tawi la CCM Kilimani Wilaya ya Mjini Unguja leo 6-8-2022
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, akizungumza na Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi Wadi ya Migombani Jimbo la Mpendae Zanzibar, baada ya kupiga kura yake kuwachagua Viongozi wa Wadi hiyo, wakati wa Mkutano Mkuu wa Wadi uliofanyika katika ukumbi wa Tawi la CCM Kilimani Wilaya ya Mjini Unguja leo 6-8-2022.VIONGOZI
wa Chama Cha Mapinduzi na Mbunge
na Mwakilishi wa Jimbo la Mpendae Zanzibar wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae
pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi (hayupo pichani) akizungumza na Wanachama wa CCM Wadi ya Migombani,
wakati wa mkutano Mkuu wa Wadi hiyo uliofanyika katika ukumbi wa Tawi la CCM
Kilimani Wilaya ya Mjini Unguja leo 6-8-2022
WAJUMBE wa Mkutano Mkuu wa Wadi ya Migombani
Jimbo la Mpendae Zanzibar wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Mjumbe
wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
.(hayupo pichani) akizungumza na Wanachama Wadi ya Migombani baada ya kupiga kura yake kuwachagua Viongozi
wa Wadi hiyo katika Mkutano Mkuu wa Wadi ya Migombani uliofanyika katika ukumbi
wa Tawi la CCM Kilimani Wilaya ya Mjini Unguja leo 6-8-2022.
No comments:
Post a Comment