Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe Zubeir Ali Maulid akikabidhiwa Ripoti ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali ya mwaka 2020/2021 na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba, Sheria,Utumishi na Utawala Bora Zanzibar. Mhe.Haroun Ali Suleiman, hafla hiyo imefanyika katika Ofisi ya Spika Chukwani Zanzibar.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba, Sheria,Utumishi na Utawala Bora Zanzibar. Mhe.Haroun Ali Suleiman akimfahamisha kitu Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe Zubeir Ali Maulid wakati alipomkabidhi Ripoti ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali ya mwaka 2020/2021 , hafla hiyo imefanyika katika Ofisi ya Spika Chukwani Zanzibar.
REA YASAMBAZA MITUNGI NA MAJIKO YA GESI KWA WATUMISHI WA GEREZA LA UKONGA
DAR ES SALAAM
-
-REA kuendela kuwajengea uwezo Magereza uendelezaji Miradi ya Nishati Safi
-Mhe. Balozi Radhia Msuya amewahamasisha Maafisa na Watumishi wa Magereza
kuwa M...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment