Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe Zubeir Ali Maulid akikabidhiwa Ripoti ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali ya mwaka 2020/2021 na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba, Sheria,Utumishi na Utawala Bora Zanzibar. Mhe.Haroun Ali Suleiman, hafla hiyo imefanyika katika Ofisi ya Spika Chukwani Zanzibar.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba, Sheria,Utumishi na Utawala Bora Zanzibar. Mhe.Haroun Ali Suleiman akimfahamisha kitu Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe Zubeir Ali Maulid wakati alipomkabidhi Ripoti ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali ya mwaka 2020/2021 , hafla hiyo imefanyika katika Ofisi ya Spika Chukwani Zanzibar.
Meridianbet Yaungana na Diwani wa Kata Kufanya Usafi Africana
-
IKIWA ni Jumamosi nyingine ya kijanja, wakali wa ubashiri Meridianbet leo
hii wamefika Mbezi Africana pale Kituoni na kufanya zoezi la usafi. Lakini
pia l...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment