Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe Zubeir Ali Maulid akikabidhiwa Ripoti ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali ya mwaka 2020/2021 na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba, Sheria,Utumishi na Utawala Bora Zanzibar. Mhe.Haroun Ali Suleiman, hafla hiyo imefanyika katika Ofisi ya Spika Chukwani Zanzibar.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba, Sheria,Utumishi na Utawala Bora Zanzibar. Mhe.Haroun Ali Suleiman akimfahamisha kitu Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe Zubeir Ali Maulid wakati alipomkabidhi Ripoti ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali ya mwaka 2020/2021 , hafla hiyo imefanyika katika Ofisi ya Spika Chukwani Zanzibar.
Waziri wa Kilimo, Amefanya Mazungumzo na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais,
Mipango na Uwekezaji
-
WAZIRI wa Kilimo, Mhe. Daniel Godfrey Chongolo (Mb) amefanya mazungumzo na
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Alexander
Mk...
7 hours ago
0 Comments