Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip
Mpango akiweka Jiwe la Msingi la Mradi wa Ujenzi wa Chanzo cha Maji na Kituo cha Tiba ya Maji cha Butimba uliopo Wilaya
ya Nyamagana mkoani Mwanza leo tarehe 14 Septemba 2022. Kulia ni Waziri wa Maji
Jumaa Aweso , Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Adam Malima na Waziri wa Ardhi Dkt.
Angelina Mabula.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip
Mpango akiweka Jiwe la Msingi la Mradi wa Ujenzi wa Chanzo cha Maji na Kituo cha Tiba ya Maji cha Butimba uliopo Wilaya
ya Nyamagana mkoani Mwanza leo tarehe 14 Septemba 2022. Kulia ni Waziri wa Maji
Jumaa Aweso , Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Adam Malima na Waziri wa Ardhi Dkt.
Angelina Mabula.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip
Mpango akihutubia viongozi ,wafanyazi wa mradi pamoja na wananchi mbalimbali
mara baada ya kuweka Jiwe la Msingi la
Mradi wa Ujenzi wa Chanzo cha Maji na
Kituo cha Tiba ya Maji cha Butimba uliopo Wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akiwa katika Picha ya Pamoja na Viongozi pamoja wafanyazi wa Mamlaka ya Maji Jijini Mwanza mara baada ya kuhitimisha hafla ya uwekaji Jiwe la Msingi la Mradi wa Ujenzi wa Chanzo cha Maji na Kituo cha Tiba ya Maji cha Butimba uliopo Wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza leo tarehe 14 Septemba 2022
No comments:
Post a Comment