Habari za Punde

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa Azungumza na Watanzania Wanaoishi Nchini Japan

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na wanachama wa Tanzanite ambayo ni Jumuiya ya Watanzania waishio Japan kwenye hoteli ya Ana Intercontinental jijini humo, Septemba 28, 2022. Waziri Mkuu ambaye yuko Tokyo, Japan alimwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan katika mazishi ya aliyekuwa Waziri Mkuu wa Nchi hiyo Shinzo Abe
Baadhi ya wanachama wa Tanzanite ambayo ni Jumuiya ya Watanzania waishio Japan wakimsikiliza Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alipozungumza nao kwenye hoteli ya Ana Intercontinental Tokyo, Japan 


Baadhi ya wanachama wa Tanzanite ambayo ni Jumuiya ya Watanzania waishio Japan wakimsikiliza Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alipozungumza nao kwenye hoteli ya Ana Intercontinental Tokyo, Japan Septemba 28, 2022.
 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.